TANZIA: Mwanamuziki Sam Wa Ukweli afariki dunia
Msanii wa Bongo Fleva, Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Palestina, Sinza jijini Dar baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Chanzo cha kifo chake kimelelezwa na Producer wake Steve kuwa “Sam alianza kuzidiwa toka J’mosi, tulipomuuliza anaumwa nini
alisema ukimwi lakini sio ukimwi wa kawaida bali wa kulogwa”
Mwili wa marehemu umepelekwa katika hospitali ya Mwananyamala kuhifadhiwa.
Chanzo cha kifo chake kimelelezwa na Producer wake Steve kuwa “Sam alianza kuzidiwa toka J’mosi, tulipomuuliza anaumwa nini
alisema ukimwi lakini sio ukimwi wa kawaida bali wa kulogwa”
Mwili wa marehemu umepelekwa katika hospitali ya Mwananyamala kuhifadhiwa.
No comments