MUNGURE AZINDUA MTAMBO WA KUSAFISHA MAJI YENYE MADINI YA FLORIDE, ASEMA ANATEKELEZA ILANI YA CHADEMA
Diwani wa Kata ya Kikatiti Halmashauri ya Wilaya ya Arumeru Mh Elisa Mungure Leo agosti 09 amezindua mradi wa kisima cha Maji na Mtambo wa kusafisha Maji yenye uwingi wa madini ya Fluoride katika shule ya Msingi Surumala.
Mungure ambaye pia Ni Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha amesema katika Kata hiyo amekuwa akitekeleza ilani za Chama hicho ambayo hueleza kwa mapana Masuala ya Maendeleo ya wananchi.
Katika shule ya Msingi Surumala Mungure kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo wamezindua mtambo wa kusafisha Maji yenye fluoride ili kusaidia Kupunguza hatari ya wanafunzi na Jamii kuathirika na Madini ya fluoride katika Kata hiyo.
Awali akizungumza na waandishi wa habari Mungure alifafanua kuhusu hatari ya Madini hayo katika afya ya binadamu ambayo huathiri mifumo ya akili na Mifupa asa kwa watoto hivyo kupatikana Kwa mradi huenda ukawa mwarobaini wa athari za fluoride kwa Jamii ya watu wa Meru.
Aidha Mwalinu Mkuu wa Shule ya Msingi Surumala Bw. Elinihaki Boni akaeleza Umuhimu wa mtambo huo wa kusafisha Maji yenye fluoride katika shule hiyo.
Mwalinu Elinihaki amesema Mtambo huo ni neema kubwa kwa wanafunzi wa shule hiyo ikiwa nia pamoja na kizazi kijacho.
![]() |
Diwani wa Kata ya Kikatiti na Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha Mh Elisa Mungure (Katikati). Picha na Dijacson John. |
Mungure ambaye pia Ni Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Arusha amesema katika Kata hiyo amekuwa akitekeleza ilani za Chama hicho ambayo hueleza kwa mapana Masuala ya Maendeleo ya wananchi.
Katika shule ya Msingi Surumala Mungure kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo wamezindua mtambo wa kusafisha Maji yenye fluoride ili kusaidia Kupunguza hatari ya wanafunzi na Jamii kuathirika na Madini ya fluoride katika Kata hiyo.
Awali akizungumza na waandishi wa habari Mungure alifafanua kuhusu hatari ya Madini hayo katika afya ya binadamu ambayo huathiri mifumo ya akili na Mifupa asa kwa watoto hivyo kupatikana Kwa mradi huenda ukawa mwarobaini wa athari za fluoride kwa Jamii ya watu wa Meru.
![]() |
Wananchi wa kijiji cha Surumala wakishuhudia Uzinduzi wa Mradi wa kusafisha Maji yenye fluoride. Picha na Dijacson John. |
Aidha Mwalinu Mkuu wa Shule ya Msingi Surumala Bw. Elinihaki Boni akaeleza Umuhimu wa mtambo huo wa kusafisha Maji yenye fluoride katika shule hiyo.
Mwalinu Elinihaki amesema Mtambo huo ni neema kubwa kwa wanafunzi wa shule hiyo ikiwa nia pamoja na kizazi kijacho.
No comments