MUNGURE: Wanaojiuzulu kwa kigezo cha kumuunga mkono Rais 'Wanamhadaha' Rais wetu
![]() |
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na Diwani wa Kata ya Kikatiti Mh. Elisa Mungure alipokabidhiwa zawadi ya T-shirt kutoka Chuo cha Seoul National University kutoka Korea Kusini. |
Mungure ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kikatiti amesema hayo akizindua mradi wa kisima cha Maji na mtambo wa kusafisha maji yenye madini ya Fluoride katika shule Msingi Surumala na mradi wa umeme wa jua Kwenye shule Sekondari Kikatiti miradi ambayo imefanikiwa kwa jitihada za Diwani ,na chuo kikuu cha Masuala ya kijamii mjini Seoul Nchini Korea Kusini.
![]() |
Wanafunzi wa Chuo cha Seoul national University kwenye Maagano na Wananchi na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kikatiti. |
Naye Mwalinu Mkuu wa Shule Sekondari Kikatiti Tareto Nasari licha ya wa kumshukuru Diwani na wafadhili hao Amesema mradi huo wa umeme wa jua utawasaidia katika kuhakikisha wanafunzi wanapata muda mzuri wa kusoma hata nyakati ambazo kuna changamoto ya umeme shuleni hapo.
No comments